RAIS DKT. MWINYI ATOA MKONO WA POLE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) leo amefika Nyumbani kwa Mfanyakazi wake kutoa mkono wa pole baada ya kifo cha Baba Mzazi wa Mfanyakazi huyo huko nyumbani kwao Dole,Ndunduke Wilaya ya Magharibi”A” Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/Julai 2022.  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza