RAIS DKT. MWINYI ATOA MKONO WA POLE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) leo amefika Nyumbani kwa Mfanyakazi wake kutoa mkono wa pole baada ya kifo cha Baba Mzazi wa Mfanyakazi huyo huko nyumbani kwao Dole,Ndunduke Wilaya ya Magharibi”A” Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/Julai 2022. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed